• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ZAIDI YA MILIONI 350 KUNUFAISHA VIKUNDI 40 KUPITIA MAPATO YA NDANI.

Posted on: August 28th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa amewataka Vikundi vya ujasiriamali ambavyo ni Wanawake,Vijana na Watu wenye ulemavu kuwa na nidhamu ya fedha wakati wanapokopeshwa fedha kwa ajili kufanya biashara ili kufikia malengo waliyojiwekea.

Wito huo ametolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa leo tarehe 28,Agosti,2024 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri wakati wa kuhitimisha mafunzo ya Vikundi hivyo ambapo amewataka kuwa waminifu, sambamba na kufanya tathmini kwenye biashara zao na kuwa na maono ya mbali ya  kibiarasha yenye kuleta tija ili kujikwamua kiuchumi.

Aidha amesisitiza kwamba vikundi vinatakiwa kurejesha fedha walizokopeshwa bila riba kwa wakati ili na vikundi vingine vyenye sifa viweze kukopa.

Jumla ya vikundi 40 wemepatiwa mkopo wa asilimia 10 fedha kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ambapo vikundi (23) vya wanawake wamekopesha kiasi cha shilingi Milioni 106, Vijana vikundi (16) wamekopeshwa shilingi Milioni 241.5 na Watu wenye ulemavu ni kikundi kimoja kimekopesha shilingi Milioni (3) tatu na kufanya jumla ya shilingi 350,517,000/= ambazo zimekopeshwa kwa robo ya tatu mwaka wa fedha 2024/2025.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 27, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA AJIRA HALMASHAURI YA BUCHOSA November 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MUDA YA UCHAGUZI November 20, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA October 13, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MENEJEMENTI BUCHOSA YANOLEWA UADAAJI MPANGO MKAKATI

    January 15, 2026
  • KATIBU TAWALA SENGEREMA AHIMIZA WA SHERIA YA BIMA YA AFYA KWA WOTE BUCHOSA

    January 05, 2026
  • MADIWANI BUCHOSA WAAPISHWA, RASMI KUANZA MAJUKUMU YA KUWATUMIKIA WANANCHI

    December 04, 2025
  • DED MIHAYO AWATAKA WATUMISHI KUFANYA KAZI KWA BIDII,KUDUMISHA AMANI

    November 28, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa