• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MENEJEMENTI BUCHOSA YANOLEWA UADAAJI MPANGO MKAKATI

Posted on: January 15th, 2026

Menejimenti ya Halmashauri ya imefanya kikao kazi cha kupitia Mpango Mkakati wa Miaka Mitano (2021/2022–2025/2026) unaoishia Juni 2026 na kuanza maandalizi ya Mpango Mkakati Mpya wa Miaka Mitano (2026/2027–2030/2031).

 Kikao kazi hicho, kinachohusisha Menejimenti ya Halmasahuri ya Buchosa kimeanza tarehe 13 hadi 15 Januari, 2026 katika Ukumbi mdogo wa mikutano wa Mkurugenzi kikiongozwa na Mwezeshaji ni ambaye ni Mhadhiri mwandamizi kutoka chuo cha serikali za mitaa Hombolo Dodoma Bw. Boaz Mbundu.

Akifungua mafunzo hayo Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ambaye pia ni Mkuu wa Divisheni ya Mipango Ndg. Deogratius Lihengelimo, ameeleza na kufafanua kwamba  kuandaa mipango mikakati thabiti itakaotengeneza Dira na maono ya halmashauri ili kufikia malengo ambayo yatakwenda kuibadilisha halmashauri katika nyanja zote za kiuchumi, miundombinu na kijamii kufikia Dira ya 2050.

Aidha lengo la kikao kazi hicho ni kutathmini mafanikio na changamoto za Mpango Mkakati unaoisha, pamoja na kuweka malengo na mikakati mipya itakayoongeza ufanisi na matokeo chanya kwa taasisi.

Hata hivyo Bw. Lihengelimo amesisitiza kuwa mpango huo ndio utafanya utekelezaji bora wa maandalizi ya bajeti mpya kwa mwaka 2026/2027.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 27, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA AJIRA HALMASHAURI YA BUCHOSA November 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MUDA YA UCHAGUZI November 20, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA October 13, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MENEJEMENTI BUCHOSA YANOLEWA UADAAJI MPANGO MKAKATI

    January 15, 2026
  • KATIBU TAWALA SENGEREMA AHIMIZA WA SHERIA YA BIMA YA AFYA KWA WOTE BUCHOSA

    January 05, 2026
  • MADIWANI BUCHOSA WAAPISHWA, RASMI KUANZA MAJUKUMU YA KUWATUMIKIA WANANCHI

    December 04, 2025
  • DED MIHAYO AWATAKA WATUMISHI KUFANYA KAZI KWA BIDII,KUDUMISHA AMANI

    November 28, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa