• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DED MIHAYO AWATAKA WATUMISHI KUFANYA KAZI KWA BIDII,KUDUMISHA AMANI

Posted on: November 28th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Buchosa afanya kikao na watumishi wa Halmashauri makao makuu, awataka kuendelea kuzingatia majukumu yao ya kazi pamoja na kudumisha amani na upendo.

Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Buchosa Bw.Benson Mihayo amefanya kikao leo tarehe 28,Novemba,2025, katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri cha watumishi wa makao makuu ambapo wamewataka watumishi kutimiza majukumu yao ya kazi kwa kushirikiana kwa pamoja ili kudumisha amani na upendo katika kazi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ameeleza na kufafanua kwamba watumishi wanaodai stahizi zao mbalimbali kama madeni ya uhamisho Halmashauri imeshalipa watumishi wake kwa asilimia kubwa na kuahidi kuendelea kulipa madeni kwa watumishi ambao bado wanadai ili kuondoa changamoto hizo zinazowakabili watumishi.

Aidha Bw.Mihayo amewataka watumishi kuendelea kufaya kazi kwa juhudi na kwenye mfumo wa PEPMIS kuendana asilimia zinazohitajika pindi wanapotimiza majukumu yao kwenye mfumo.

Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji amewakumbusha watumishi kuendelea kutimiza majukumu yao kama kawaida na kutokujihusiha na makundi ambayo yanaweza kuchochea vurugu na kuchafua amani ya nchi yetu.

 

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 27, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA AJIRA HALMASHAURI YA BUCHOSA November 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MUDA YA UCHAGUZI November 20, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA October 13, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED MIHAYO AWATAKA WATUMISHI KUFANYA KAZI KWA BIDII,KUDUMISHA AMANI

    November 28, 2025
  • WATUMISHI AJIRA MPYA WAPATIWA MAFUNZO BUCHOSA

    November 19, 2025
  • JITOKEZE KUPIGA KURA TAREHE 29 OKTOBA 2025

    October 05, 2025
  • WATHIBITI UBORA WA SHULE WAPATIWA MAFUNZO BUCHOSA

    September 30, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa