• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Watumishi wajitokeza kufanya usafi katika Soko la Nyehunge

Posted on: February 28th, 2025


Watumishi pamoja na Wafanyabiashara wajitokeza kwa kufanya usafi katika soko la Nyehunge Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa Mkoani Mwanza.

Zoezi hilo limefanyika leo mapema 28, Februari, 2025 katika Soko la Nyehunge ambapo watumishi wa kada mbalimbali wamehudhuria na kushiri kufanya usafi maeneo yote yanayo zunguka soko hilo ikiwa ni utaratibu wa kawaida wa kufanya usafi kila siku ya Ijumaa ya mwisho wa mwezi.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa ambaye pia ni Mganga Mkuu wa Wilaya Daktari David Mndeba ameeleza na kufafanua kwamba zoezi hilo la kufanya usafi lipaswa kufanyika kila siku katika maeneo yetu na maeneo mengine ya taasisi ili kuepukana magonjwa.

“Usafi huu utakuwa mwendelezo wa kila siku ya Ijumaa ya mwisho wa mwezi lakini usafi ni tabia ya mtu,papende pale unapofanyia kazi zako mazingira yawe safi”.

“watumishi tushiriki wote kwenye usafi ambalo ni agizo la Serikali”amesisitiza Mgaga Mkuu wa Wilaya.

Aidha Dkt Mndeba ametoa wito kwa watumishi  kujitokeza kwa wingi katika matukio kama haya ili kuwa mfano wa kuigwa kwa wananchi sambasamba na kufanya usafi katika maeneo yao wanakoishi.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA October 13, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA ASILIMIA 10 October 01, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA 2025 September 17, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA September 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • JITOKEZE KUPIGA KURA TAREHE 29 OKTOBA 2025

    October 05, 2025
  • WATHIBITI UBORA WA SHULE WAPATIWA MAFUNZO BUCHOSA

    September 30, 2025
  • DC NGANGA AWATAKA WATENDAJI WA KATA KUONGEZA JUHUDI UPATIKANAJI WA CHAKULA SHULENI

    September 17, 2025
  • BOTI TATU ZA THAMANI YA MILIONI 400 ZA POKELEWA BUCHOSA

    August 29, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa