• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

BARAZA LA MADIWANI BUCHOSA LAITAKA TARURA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Posted on: February 12th, 2026

Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) watakiwa kuongeza kasi kuboresha miundombinu ya Barabara katika Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema Mkoani Mwanza.

Wito huo umetolewa tarehe 11, Febrary,2026  na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Buchosa Mhe.Isack Mashimba katika Baraza la Madiwani wakati wa kujadili na kupitisha mapendekezo ya Bajeti ya Mapato na Matumizi ya shilingi Bilioni 44.7 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 katika Halmashauri Buchosa.

Mhe.Mashimba ameeleza kufafanua kwamba TARURA wanaojibu wa kuhakikisha wanaboresha miundombinu ya barabara za mitaa kwa wakati ili ziweze kupitika kwa urahisi na watumiaji wa barabara hizo ambapo zitachochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wakazi wa buchosa.

Kwa upande wao Waheshimiwa Diwani wa Halmashauri ya Buchosa wameeleza na kusisitiza umuhimu wa kupewa kipaumbele katika bajeti ya TARURA ili kuboresha mtandao wa barabara katika Kata za Halmashauri ya Buchosa.

Hata hivyo, Meneja wa Wakala wa Barabara za mijiji na Vijiji (TARURA) Wilaya ya Sengerema, Bw.Prosper Francis amesema kwamba watahakikisha barabara   za Halmashauri ya Buchosa zinaboresha kwa kiwango kinachokubalika.Sambamba na kuahidi kuendeleza ushirikiano na Halmashauri kwa kutatua changamoto zinazojitokeza.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 27, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA AJIRA HALMASHAURI YA BUCHOSA November 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MUDA YA UCHAGUZI November 20, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA October 13, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI BUCHOSA LAITAKA TARURA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA

    February 12, 2026
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI LA BUCHOSA LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 44.7 KWA MWAKA 2026/2027

    February 05, 2026
  • BUCHOSA YAUNGANA NA RAIS SAMIA KUPANDA MITI

    January 27, 2026
  • MENEJEMENTI BUCHOSA YANOLEWA UADAAJI MPANGO MKAKATI

    January 15, 2026
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa