• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

BUCHOSA YAUNGANA NA RAIS SAMIA KUPANDA MITI

Posted on: January 27th, 2026

Halmashauri ya Buchosa imeadhimisha siku ya kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kufanya zoezi la upandaji wa miti ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za kitaifa za uhifadhi wa mazingira na mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabianchi.

Mwenyeki wa Halmashauri ya Buchosa Mhe. Isaac Mashimba leo ameongoza zoezi la upandaji miti katika Shule ya Msingi Nyamadoke ilipo Kata ya Nyamadoke,ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ambayo inalenga kulinda mazingira, na kuhimiza matumizi ya Nishati safi ya kupikia, ushirikiano kati ya Serikali na Wananchi katika kuhakikisha mipango hiyo inatekelezwa kwa ufanisi.

Aidha jumla ya miti 3,100 imepandwa maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na  Shule ya Msingi Nyamadoke,Shule ya Msingi Kasisa,Shule ya Msingi Misungwi,Shule ya Msingi Nyehunge,Shule ya Sekondari Kalebezo,Nyanango Sekondari  ikiwa ni sehemu ya kuungana na Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kusheherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutunza mazingira.

Hata hivyo upandaji Miti  umefanyika  kwa kushirikisha Viongozi mbalimbali wakiwemo Wataalamu wa Misitu,Viongozi,Wakuu wa Idara na Vitengo,Walimu na Wanafunzi pamoja na Wananchi.

 

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 27, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA AJIRA HALMASHAURI YA BUCHOSA November 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MUDA YA UCHAGUZI November 20, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA October 13, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BUCHOSA YAUNGANA NA RAIS SAMIA KUPANDA MITI

    January 27, 2026
  • MENEJEMENTI BUCHOSA YANOLEWA UADAAJI MPANGO MKAKATI

    January 15, 2026
  • KATIBU TAWALA SENGEREMA AHIMIZA WA SHERIA YA BIMA YA AFYA KWA WOTE BUCHOSA

    January 05, 2026
  • MADIWANI BUCHOSA WAAPISHWA, RASMI KUANZA MAJUKUMU YA KUWATUMIKIA WANANCHI

    December 04, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa