• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

BARAZA LA WAFANYAKAZI LA BUCHOSA LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 44.7 KWA MWAKA 2026/2027

Posted on: February 5th, 2026

Baraza la Wafanyakazi la Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa lajadili na kupitisha mapendekezo ya Bajeti ya Mapato na Matumizi ya shilingi Bilioni 44.7 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 katika Halmashauri Buchosa Mkoani Mwanza.

Akiwasilisha rasimu hiyo ya Bajeti kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Bw. Deogratius Lihengelimo ambaye ni Mkuu wa divisheni ya Mipango na uratibu ameeleza na kufafanua kwamba Halmashauri ya Buchosa kwa Mwaka wa fedha 2026/2027 inategemea kukusanya na kutumia jumla ya Shilingi 44,770,074,000.00 kutoka vyanzo mbalimbali vya halmashauri.

Katika fedha hizo shilingi 28,170,112,000.00 ni Ruzuku kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya mishahara, Shilingi 1,853,182,000.00 ni Matumizi mengineyo, Shilingi 5,447,179,000.00 ni mapato ya ndani ya halmashauri na Shilingi 9,299,601,000.00 ni ruzuku ya Miradi ya Maendeleo.

Aidha kiasi   cha makusanyo kimeongezeka kwa silimia 3.46 ukilinganisha na Mwaka wa fedha 2025/2026 ambapo makisio yalikuwa ni shilingi 5,264,979,000.00 hii imetokana na halmashauri kuweka mikakati madhubuti ya kukusanya mapato.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa TALGWU Bw. Mkama Sululu ameipongeza halmashauri kwa kuandaa rasimu ya bajeti nzuri ambayo imezingatia maslahi ya  watumishi kwa kiasi kubwa ikiwemo kulipa madeni  ya watumishi  na uhamisho.

Naye Mwenyekiti wa chama cha Waalimu (CWT) Wilaya ya Sengerema Bw. Zacharia Mganda amempongeza  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Buchosa Bw.Benson Peter Mihayo kwa kushirikiana na Timu Menejimenti ya halmashauri kwa kuandaa rasimu ya bajeti inayofaa kwa  imezingatia maslahi ya watumishi wa umma.

Hata hivyo, kupitia kikao hicho cha Baraza la Wafanyakazi, wajumbe walipata wasaa wa kupitia na kujadili pamoja na kutoa maoni yao juu ya Bajeti hiyo na kupongeza namna ilivyoandaliwa kitaalamu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 27, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA AJIRA HALMASHAURI YA BUCHOSA November 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MUDA YA UCHAGUZI November 20, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA October 13, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA WAFANYAKAZI LA BUCHOSA LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 44.7 KWA MWAKA 2026/2027

    February 05, 2026
  • BUCHOSA YAUNGANA NA RAIS SAMIA KUPANDA MITI

    January 27, 2026
  • MENEJEMENTI BUCHOSA YANOLEWA UADAAJI MPANGO MKAKATI

    January 15, 2026
  • KATIBU TAWALA SENGEREMA AHIMIZA WA SHERIA YA BIMA YA AFYA KWA WOTE BUCHOSA

    January 05, 2026
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa