• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Watumishi waadhimisha Siku ya Mashujaa kwa Kufanya usafi Wilayani Buchosa

Posted on: July 25th, 2024

Watumishi wa kada mbalimbali pamoja na Wananchi wajitokeza kwa wingi kufanya usafi katika Kituo cha Afya Nyuhunge ikiwa ni kuadhimisha siku ya Mashujaa Wilayani Buchosa mkoani Mwanza.

Zoezi hilo limefanyika leo mapema 25, Julai, 2024 katika Kituo cha Afya Nyehunge Kata ya Nyehunge ambapo watumishi wa kada mbalimbali wamehudhuria na kushiri kufanya usafi maeneo yote yanayo zunguka kituo hicho ikiwa ni kuadhimisha siku ya Mashujaa ambayo hufanyika tarehe 25, Julai kila mwaka.

Afisa Utumishi Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa Bw.Ritte Adolph ameeleza na kufafanua kwamba zoezi hilo la kufanya usafi linaenda sambamba na kuwambuka mashujaa wetu na kukumbushana sisi kuwa wazalendo kwa kuipenda nchi yetu kujituma kwa bidii katika kufanya kazi.

Aidha Bw.Adolph ametoa wito kwa watumishi kujitokeza kwa wingi katika matukio kama haya ili kuwa mfano wa kuigwa kwa wananchi sambasamba na kufanya usafi katika maeneo yao wanakoishi.

 Tanzania huadhimisha siku ya kuwakumbuka Mashujaa waliopoteza maisha yao wakiutetea,kuupigania na kuulinda uhuru wa Tanzania kila ifikapo Julai,25 ya kila mwaka.

Watumishi kutoka Kada mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa wajitokeza na kushiriki kufanya usafi leo mapema katika Kituo cha Afya Nyehunge ikiwa ni kuadhimisha siku ya Mashujaa ambayo hufanyika kila tarehe 25,Julai kila mwaka.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI YAASWA KUENDELEA KUTOA MICHANGO KWA JAMII.

    June 26, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA WATENDAJI KUSIMAMIA MIRADI KIKAMILIFU

    June 18, 2025
  • KAMATI YA USALAMA SENGEREMA YAKAGUA MIRADI BUCHOSA

    June 12, 2025
  • Waziri Mkuu Apongeza Mradi wa jengo la Utawala,Aweka jiwe la msingi

    May 19, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa