• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WATAALAM WA SEKTA YA ELIMU WATAKIWA KUENDANA NA MFUMO WA KIDIJITI

Posted on: July 11th, 2025

Waatalamu wa Sekta ya Elimu ngazi ya Halmashauri wametakiwa kuendena na mfumo wa kidijiti ili kuongeza ufanisi wa kazi za timu za ndani za uthibiti ubora wa shule katika kupanga na kuboresha mikakati katika elimu.

Akizungumza katika mafunzo hayo ya mfumo wa Kidijiti leo tarehe 11, Julai,2025 katika ukumbi wa shule ya Sekondari Nyehunge Bw.Simbanilo Changiki Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa ambaye amemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa Bw.Benson Peter Mihayo,amewataka Waatalamu wa sekta ya Elimu kuendena na mfumo wa kidijiti kwa lengo la kukuza uwajibikaji ,uwazi na ushirikiano kati ya wadau wa elimu kwa kutumia mfumo wa pamoja wa taarifa.

Kwa upande wake Uthibiti Ubora wa Shule Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa Bi.Tunu M.Sarungi ameeleza na kufafanua kwamba mafunzo hayo ambayo yameandaliwa kwa lengo la kuwajengea uwezo Maafisa elimu kata, Wakuu wa shule wa Sekondari na Msingi pamoja na wenyeviti wa timu za uthibiti ubora wa shule za ndani kutumia mfumo wa kisasa kwa ufanisi katika kusimamia na kufuatilia viwango vya ubora wa elimu utawasaidia katika maeneo yao ya kazi.

Aidha mafunzo hayo ya mfumo wa kidijiti yanatarajia kuwajengea uwezo jumla ya washiriki 297 Maafisa elimu kata 21, Wakuu wa sekondari na Msingi 138 na wenyeviti wat imu za ndani 138.Hata hivyo mafunzo hayo ya kidijiti yatafanyika kwa awamu 4 kuanzia tarehe 15 hadi 18 Julai 2025.

Sambamba na hayo mafunzo ya mfumo wa Kidijiti yamejikita katika kutoa uelewa wa kina kwa washiriki kuhusu matumizi ya mfumo wa kidijiti wa uthibiti ubora wa shule ili kila mshiriki afahamu majukumu yake namna ya kuyatekeleza.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WATAALAM WA SEKTA YA ELIMU WATAKIWA KUENDANA NA MFUMO WA KIDIJITI

    July 11, 2025
  • MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI YAASWA KUENDELEA KUTOA MICHANGO KWA JAMII.

    June 26, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA WATENDAJI KUSIMAMIA MIRADI KIKAMILIFU

    June 18, 2025
  • KAMATI YA USALAMA SENGEREMA YAKAGUA MIRADI BUCHOSA

    June 12, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa