• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Wananchi wapatiwa Elimu ya Msaada wa Kisheria wa Mama Samia Buchosa

Posted on: February 22nd, 2025

KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA

Wananchi wa Kijiji cha Itumbuli wapatiwa elimu ya msaada wa kisheria kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Katika Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa.

Elimu hiyo imetolewa leo tarehe 22, Februari, 2025 katika Kijiji cha Itumbuli katika Kata ya Nyakaliro ambapo wananchi wameweza kupatiwa elimu ya kisheria katika masula mbalimbali ya ukatili wa kijinsia,migogoro ya ardhi,mirathi,Matunzo ya Watoto,migogoro ya ndoa,madai,jinai,mfuko wa Tasaf,cheti cha kuzaliwa,uvunjifu wa utawala bora na haki za binadamu.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo Msajiri Msaidizi wa watoa huduma ndogo za kisheria wa Halmashauri ya Buchosa Bw.Florian Mkangala ameeleza na kufafanua kwamba wananchi watakiwa kutumia fursa hiyo adhimu kwa kutoa malalalamiko na kero walizonazo ili yaweze kupatiwa ufumbuzi na watoa huduma za kisheria.

Ameongeza kuwa zoezi hilo la Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia katika Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa litadumu kwa siku tisa pekee ambapo zoezi hili litamalizika tarehe 27, Februari,2025 na kuwataka wananchi kuendelea kujitokeza kwa wingi ili waweze kutumia fursa hiyo muhimu.

Lengo la Kampeni hii ni kulinda na kukuza upatikanaji wa haki kwa wote kupitia huduma ya msaada wa kisheria nchini.




Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • DED Benson Mihayo awataka watumishi kushirikana katika ukusanyaji Buchosa

    March 27, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa