• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Wananchi Waishukuru Serikali Kwa kuwapatia gari jipya la kubeba Wagonjwa Buchosa

Posted on: January 4th, 2025


Mbunge wa Jimbo la Buchosa Mhe.Erick Shigongo amefanya Hafla fupi ya kukabidhi gari la kubeba wagonjwa kwa wananchi wa Kisiwa cha Kome chenye jumla ya Kata nne Kata ya Buhama,Lugata,Bugoro na Nyakasasa.

Akizungumza na Wananchi wa Kisiwa hicho jana tarehe 03, Januari,2025 Mhe.Shigongo ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia Wananchi gari jipya la kubebea wagonjwa lenye usajili wa STN 3630 ambapo gari hilo lisaidia kupunguza kero na changamoto ya kusafirisha wagonjwa pindi watakapokuwa wanahitaji rufaa kwenda Hospitali ya Wilaya au Hospitali ya Kanda Bugando Mwanza.

Aidha Mhe.Shigongo ametoa wito kwa Wananchi wa Jimbo la Buchosa kuendelea kumwombea na kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuleta Maendeleo katika Jimbo la Buchosa.

“Nataka nikumbukwe na watu kwa kuwaletea Wananchi Maendeleo”Amesema Mhe.Erick Shigongo Mbunge wa Jimbo la Buchosa.

Katika hatua nyingine Mbunge wa Jimbo la Buchosa Mhe.Erick Shigongo amefanya ziara ya kutembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Bugoro iliyopo Kata ya Bugoro ambapo ameridhishwa na hatua za ujenzi wa Shule hiyo.

Wananchi wa Kisiwa cha Kome wamemetoa shukurani za dhati kwa Serikali ya Awamu ya sita kwa kupatiwa gari jipya la wagonjwa ambapo litapunguza kadhia iliyokuwa ikiwakumba hasa kwa kina mama wajawazito.

Hafla hiyo ya kukabidhi gari la Wagonjwa kwa Kisiwa cha Kome imefanyika Kijiji cha Nyamiswi katika Kata ya Buhama.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA October 13, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA ASILIMIA 10 October 01, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA 2025 September 17, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA September 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • JITOKEZE KUPIGA KURA TAREHE 29 OKTOBA 2025

    October 05, 2025
  • WATHIBITI UBORA WA SHULE WAPATIWA MAFUNZO BUCHOSA

    September 30, 2025
  • DC NGANGA AWATAKA WATENDAJI WA KATA KUONGEZA JUHUDI UPATIKANAJI WA CHAKULA SHULENI

    September 17, 2025
  • BOTI TATU ZA THAMANI YA MILIONI 400 ZA POKELEWA BUCHOSA

    August 29, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa