• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

UTEKETEZAJI WA BANGI

Posted on: May 5th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongela, leo tarehe 05 Mei 2017 ameshiliki katika zoezi la ufyekaji na uteketezaji wa  bangi katika Hifadhi ya msitu wa Buhindi  katika kijiji cha Ilyamchele kata ya Kazunzu Wilayani Sengerema.

Katika uteketezaji huo Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Emmanuel Kipole amemueleza mkuu waMkoa wa Mwanza John Mongela kuwa Wilaya ya Sengerema imejipanga katika maeneomanne katika kutokomeza matumizi ya bangi pamoja na madawa mengine ya kulevya.

“Mheshimiwa mkuu wa Mkoa tumejipanga kutokomeza kadhia hii katika maeneo manne, maeneo hayo  niuzalisha, usafirishaji, uuzaji na utumiaji” amesemaKipole.

Uteketezajihuo wa bangi umehusisaha watumishi wa ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa, watumishi wa Hifahi ya msitu Buhindi pamoja na vikosi mbalimbali vya Ulinzi na Usalama vya Mkoa wa mwanza.

Akizungumza baada ya uteketezaji wa Bangi Mkuu wa mkoa John Mongela amemuagiza mkuu waWilaya ya Sengerema Emmanuel Kipole kuhakikisha mifugo yote iliyomo kwenyehifadhi hiyo inatolewa  na kutoruhusu shughuli za kibinadamu ndani ya msitu huo kufanyika.

Pia mkuu wa Mkoa John Mongela amewashukuru raia wema wanaoendelea kutoa taarifa za uhalifu na kuwezesha kuzuia kwa matendo ya uovu katika maeneo yao.

“niwapongeze sana wananchi watoataarifa” ameseaMongela.

Zoezila uteketezaji na ufyekaji bangi limefanyika sanjari na agizo la Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ikiwa ni mapambanodhidi ya kutokomeza madawa ya kulevya nchi nzima.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 27, 2025
  • TANGAZO NAFASI ZA AJIRA HALMASHAURI YA BUCHOSA November 25, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA MUDA YA UCHAGUZI November 20, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA October 13, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KATIBU TAWALA SENGEREMA AHIMIZA WA SHERIA YA BIMA YA AFYA KWA WOTE BUCHOSA

    January 05, 2026
  • MADIWANI BUCHOSA WAAPISHWA, RASMI KUANZA MAJUKUMU YA KUWATUMIKIA WANANCHI

    December 04, 2025
  • DED MIHAYO AWATAKA WATUMISHI KUFANYA KAZI KWA BIDII,KUDUMISHA AMANI

    November 28, 2025
  • WATUMISHI AJIRA MPYA WAPATIWA MAFUNZO BUCHOSA

    November 19, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa