• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

RAS MWANZA AWATAKA WATENDAJI KUSIMAMIA MIRADI KIKAMILIFU

Posted on: June 18th, 2025

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana  amewataka watendaji kuendelea kusimamia Miradi ya Maendeleo kwa uadilifu mkubwa kwa kushiriakiana na wataalamu kwa munufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla.

Katibu tawala ametoa maelekezo hayo leo tarehe 18 Juni, 2025 katika ukumbi mkubwa wa Halmashauri wakati akiongoza baraza maalum la hoja za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kwa halmashauri Buchosa katika mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, 2024.

Balandya ameeleza na kufafanua kwamba Serikali inafanya kazi kubwa katika kuboresha maisha ya wananchi, kila mtumishi akatimize wajibu kwa kuhakikisha dhamana aliyopewa anaitendea haki kwa kufanya kazi kwa bidii.

Aidha Bandaya ameitaka halmashauri kuendelea kulipa madeni ya wazabuni na kuwasilisha madeni ya watumishi ili kuondoa hoja ya madeni ya wazabuni pamoja na watumishi katika Halmashauri ya Buchosa.

Hata hivyo Mkaguzi Mkuu wa nje wa Hesabu za Serikali Mkoa wa Mwanza CPA. Richson Ringo amesema kwa hesabu za mwaka wa fedha 2023/24 halmashauri ya wilaya ya Buchosa imepata hati safi na imekua ikipata hati hizo kwa miaka mitatu mfululizo.

Sambamba na hilo ametanabaisha kuwa kwa mwaka 2023/24 baada ya ukaguzi kulikua na jumla ya mapendekezo 30 ambapo hoja 20 zimefungwa na 9 zipo katika hatua mbalimbali na hoja moja bado haijafanyiwa kazi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Buchosa Mhe.Idama Kibanzi ametoa shukrani za pekee kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Buchosa.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA October 13, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA ASILIMIA 10 October 01, 2025
  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA 2025 September 17, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA September 03, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • JITOKEZE KUPIGA KURA TAREHE 29 OKTOBA 2025

    October 05, 2025
  • WATHIBITI UBORA WA SHULE WAPATIWA MAFUNZO BUCHOSA

    September 30, 2025
  • DC NGANGA AWATAKA WATENDAJI WA KATA KUONGEZA JUHUDI UPATIKANAJI WA CHAKULA SHULENI

    September 17, 2025
  • BOTI TATU ZA THAMANI YA MILIONI 400 ZA POKELEWA BUCHOSA

    August 29, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa