• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

RAS Mwanza aridhishwa na Maandalizi kuelekea Uchaguzi wa Serikali Mitaa 2024 katika Halmashauri ya Buchosa

Posted on: November 21st, 2024

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza aridhishwa na Maadalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika 27, Novemba,2024 nchi nzima.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Bw.Elikana Bulandya ameyasema hayo leo tarehe 21, Novemba,, 2024 wakati wa ziara yake ya kutembelea,kukagua na kuangalia mwenendo wa maandalizi ya kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao utakaofanyika tarehe 27,Novemba,2024 ambapo amekagua na kujiridhisha namna ya uandaji na mchakato mzima wa maandalizi unavyofanyika na kuagiza mamlaka husika inayosimamia zoezi la Uchaguzi kusimamia kikamilifu ili kuepusha malalamiko yasiyokuwa na ulazima wakati zoezi la uchaguzi linaendelea.

Aidha Bw.Bulandya ameeleza kufafanua kwamba kuelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa Viongozi wenye dhamana wahakikishe wanasimamia vyema zoezi la Uchaguzi ili uwe haki na usawa katika Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa.

Katika hatua nyingine Bw.Bulandya ametembelea na kujionea Vituo kadhaa na maandalizi yake ambapo vitatumika wakati wa Uchaguzi wa Serikali Mitaa ambapo ameridhishwa na maadalizi hayo na kuwataka Viongozi ngazi ya Wilaya kuhakikisha vituo vinakuwa katika hali ya usafi na kuweka mazingira rafiki kwa watumiaji.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Sengerema Bw.Cuthberth Midala  akiongea kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe.Senyi Ngaga ameeleza kwamba hali ya kisiasa ipo katika hali ya usalama na maandalizi ya mchakato kuelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa unaendelea vizuri.

Naye Msimamizi wa Uchaguzi ngazi ya Wilaya Bw.Benson Mihayo ameeleza kwamba atahakikisha mchakato wa maandalizi unakamilika kwa wakati na vifaa vyote vya uchaguzi vitafika maeneo yote kwa muda uliopangwa katika vituo vyote vya kupigia kura.

“Serikali za Mitaa,Sauti ya Mwananchi Jitokeze Kushiriki Uchaguzi”.


 Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Bw.Elikana Bulandya alivaa kofia akikagua baadhi ya nyaraka mbalimbali na kujiridhisha kwa ajili ya Maandalizi kuelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa ambao utafanyika tarehe 27,Novemba,2024.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • DED Benson Mihayo awataka watumishi kushirikana katika ukusanyaji Buchosa

    March 27, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa