• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI YAASWA KUENDELEA KUTOA MICHANGO KWA JAMII.

Posted on: June 26th, 2025

Mkutano  Mkuu wa Mwaka wa jukwaala  Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) watoa Tathmini ya Mchango kwa kipindi cha Miaka mitano katika Wilaya ya Sengerema.

Mkutano huo umefanyika tarehe 26,Juni,2025 katika ukumbi wa mikutano Halmashauri ya Sengerema ambapo umewakutanisha wawakilishi kutoka mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali ambayo yanayotekeleza shughuli za kuwahudumia wananchi katika  Wilaya ya  Sengerema ambayo ina Halmashauri ya Buchosa na Halmashauri ya Sengerema kwa lengo la kujadili tathmini ya  utekelezaji wa shughuli za maendeleo, changamoto zilizopo, mafanikio yaliyopatikana na kuweka mikakati ya pamoja ya kuboresha huduma kwa jamii.

Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Buchosa Bw.Alto Mbikiye akimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe.Senyi Ngaga ameeleza na kufafanua kwamba Mashirika yasiyo ya kiserikali kushirikana kwa pamoja na Serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo katika Sekta mbalimbali hapa nchini.

Aidha wawakilishi kutoka Mashirika yasiyo ya kiserikali wakiwasilisha taarifa zao tathmini za michango ya mafanikio katika jamii kwa kipindi cha miaka 5  kwa nyakati tofauti wamweza kueleza walivyowezeza kutoa michango yao katika sekta ya Afya,elimu na Kilimo na Ufugaji,Uwezeshaji kiuchumi pamoja na kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu haki zao na kushiriki katika mchakato wa utawala bora.

Kwa upande wa Asasi za Kiraia wameiomba Serikali kuimarishwa kwa mtandao wa NGO ili kusaidia mtao wa NGO kupata Ofisi ,rasilimali na mafunzo ili uimarike kiutendaji,kuwepo kwa mkutano wa Mwaka wa NGOs na Serikali ili kujadili mafanikio,changamoto na kuweka mikakati ya pamoja ya maendeleo,sambamba na hilo wameomba Serikali kuanzishwa kwa mfumo wa kutambua na kutunza taarifa za NGOs ambapo itasaidia katika upangaji wa maendeleo kwa ushirikiano.


Hata hivyo mkutano huo ambao umebeba dhamira ya kuimarisha mshikamano baina ya wadau wa maendeleo na kuhakikisha rasilimali zinatumika kwa tija kwa manufaa ya wananchi katika Wilaya ya Sengerema.

Kikao hicho kimebeba kaulimbiu inayosema “Tathmini ya mchango wa Mashirika yasiyo ya kiserikali katika maendeleo ya taifa 2020/2021 – 2024 /2025”.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI YAASWA KUENDELEA KUTOA MICHANGO KWA JAMII.

    June 26, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA WATENDAJI KUSIMAMIA MIRADI KIKAMILIFU

    June 18, 2025
  • KAMATI YA USALAMA SENGEREMA YAKAGUA MIRADI BUCHOSA

    June 12, 2025
  • Waziri Mkuu Apongeza Mradi wa jengo la Utawala,Aweka jiwe la msingi

    May 19, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa