• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Halmashauri yakabidhiwa magari ya Wagonjwa

Posted on: January 23rd, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Emmanuel Kipole amekabidhi magari mawili ya wagonjwa ya shilingi milioni 300 yalitolewa na serikali kwa lengo la kusaidia huduma za afya za mama na mtoto katika halimashauri za sengerema na Buchosa na kuwatka wakurugenzi wayatunze magari hayo na yafanyekazi iliyokusudiwa.

Akikabidhi magari hayo kwa wakurugenzi wa halimashauri za Buchosa na Sengerema zinazounda Wilaya ya Sengerema alisema serikali ya awamu ya tano imejikita kusaidia wananchi na kusogeza hudama kwa wananchi hasa wa vijijini ambao hupoteza maisha kutokana na kutokuwepo kwa usafiri katika maeneo yao hivyo imetoa magari hayo ili yawasadie wananchi hao.

Alisema kuwa hata mvumila mtu yoyote au kiongozi yoyote atakaye tumia gari hayo kwa shughuri zake binafsi kwa kubeba kitu chochote kinyume na mgonjwa atachukuliwa hatua za kisheria hivyo wanapaswa kuwa makini na matumizi ya magari li yawasaidie wagonjwa.

Kipole alisema kila mmoja  anapaswa kutimiza wajibu wake kwa kutunza mali zinazotolewa na serikali kwa lengo la kusaidia wananchi magri haya yakakae katika vito vya afya yalikopangiwa Halimashauri ya Buchosa ni Kituo cha afya cha Kakobe Halimashauri ya Sengerema ni kituo cha Afya cha Kagunga .

Sambamaba na hayo kipole alisema kuwa Serikali imetoa zaidi ya milioni 600 za kujenga Haspitari ya Halimashauri ya Buchosa ili kusogeza huduma kwa wananchi fedha hizo zipo na ujenzi huo utaanza mara moja hivyo  na kuwahisi wananchi waendelee kuiamini serikali yao kuwa inawajili na kuwadhamini.

Mkurugenzi wa halimashauri ya Sengerema Magesa Mafuru alisema kuwa magari haya yatasaidia wananchi wetu kuwahishwa kwenye vituo vya afya ili wapate matibabu na kuahidi kuyatunza vema ili yadumu kwa muda mrefu.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • DED Benson Mihayo awataka watumishi kushirikana katika ukusanyaji Buchosa

    March 27, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa