• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KAMATI YA USALAMA SENGEREMA YAKAGUA MIRADI BUCHOSA

Posted on: June 12th, 2025

Katibu Tawala wa Wilaya ya Sengerema ameongooza ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya Maendeleo ambayo inapitiwa na mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2025 kwa ajili kufuatilia mafanikio na changamoto zilizopo ili kuhakikisha Mwenge unapokelewa vizuri katika Halmashauri ya Buchosa.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Sengerema Bw.Cuthbert Midala akimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe.Senyi Ngaga amesema miradi yote inayopitiwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2025 katika maeneo yote, Wataalamu na Watendaji wahakikishe mapungufu yote ya miradi inayojengwa yafanyiwe kazi na kuzingatia ubora wa viwango na kuendana na thamani halisi ya fedha zilizotumika, na wahusika wote wawajibike kikamilifu katika jukumu hilo la kitaifa.

Ziara hiyo imefanyika leo tarehe 12/06/2025 kwa lengo la kuona maendeleo na ukamilishwaji wa Miradi hiyo. Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Ujenzi wa nyumba ya mtumishi katika Zahanati ya Igwanzozu,jenzi wa vibanda  vya soko  Kata ya Bukokwa,Ufugaji wa Samaki Kata ya Kazunzu,Mradi wa maji Kata ya Bulyaheke , na Ujenzi wa shule Sekondari Chema Kata ya Bupandwa.

Kaulimbiu: “JITOKEZE KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 KWA AMANI NA UTULIVU”

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI YAASWA KUENDELEA KUTOA MICHANGO KWA JAMII.

    June 26, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA WATENDAJI KUSIMAMIA MIRADI KIKAMILIFU

    June 18, 2025
  • KAMATI YA USALAMA SENGEREMA YAKAGUA MIRADI BUCHOSA

    June 12, 2025
  • Waziri Mkuu Apongeza Mradi wa jengo la Utawala,Aweka jiwe la msingi

    May 19, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa