• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Hatimaye kituo cha Afya Kome wafanya upasuaji wa kwanza

Posted on: December 13th, 2019

Kituo cha Afya Kome usiku wa kuamkia usiku wa leo umefanya upasuaji wa kwanza wa mama mjamzito kwa kutoa mtoto tumboni baada ya uzazi wa njia ya kawaida kushindikana kutokana na uzazi pingamizi.

Hali ya mama (Janeth Lusato) pamoja na mwanaye aliyezaliwa akiwa na uzito wa Kilogramu 3.9 inaendelea vizuri.

Janeth Lusato anatokea  kitongoji cha Nyalusenyi kijiji cha Nyakabanga ambapo alikuwa akipatiwa huduma za kliniki katika zahanati ya Lugata iliyopo kata ya Lugata katika Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa.

Ikumbukwe tarehe 30/11/2019 Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mheshimiwa Ummy Mwalimu alitembelea kituo cha Afya Kome  ambapo alipata wasaa wa kukagua chumba cha kutolea huduma za Upasuaji pamoja na kuzindua chumba cha kuhifadhia majokofu ya kuhifadhia chanjo yanayotumia nishati ya jua (umeme wa jua) kwenye Zahanati ya Nyakasungwa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

Pia ikumbukwe serikali ilitoa kiasi cha fedha milioni mia nne (400,000,000) kwa ajili ya ukarabati wa majengo ya  kituo cha Afya Kome pamoja na kupeleka vifaa tiba vyenye thamani ya milioni mia mbili na kumi na mbili (212,000,000).

Maboresho haya yamesaidia wananchi wa kisiwa cha Kome kutokuwa na uhitaji wa kuvuka maji kufata huduma Sengerema.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • DED Benson Mihayo awataka watumishi kushirikana katika ukusanyaji Buchosa

    March 27, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa