• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DED Benson Mihayo awataka Watumishi kufanya Kazi kwa kushirikiana Wilayani Buchosa.

Posted on: July 12th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa awataka watumishi wa Halmashauri kushirikiana na kupendana katika kufanya kazi ili kuleta ufanisi katika utendaji kazi Wilayani Buchosa Mkoani Mwanza.

Wito huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Buchosa Bw.Benson Mihayo  wakati akiongea na Watumishi wa Halmashauri makao makuu  katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ambapo amewataka kufanya kazi kwa kushirikiana kwa pamoja ili kuleta ufanisi katika utendaji kazi.

Aidha Bw. Mihayo ameeleza na amefafanua kwamba Watumishi wanatakiwa kufuata sharia kanuni na taratibu za kazi pindi wanapotimiza majukumu yao ya kazi na kuahidi kushughulikia changamoto na kero za watumishi pindi zinapojitokeza.

Sambamba na hayo Mkurugenzi Mtendaji Bw.Mihayo amesisitiza na kuwashauri watumishi kuachana na tabia ya majungu na kusemana na badala yake wajishughulishe na fursa mbalimbali ambazo zinapatikana katika Hamasahuri hiyo ili kujikwamua kiuchumi.

Kwa upande wake Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosha Bw.Ritte Adolph amewakumbusha watumishi kuzingatia sharia kanuni taratibu za kazi na kuwa na nidhamu ya kazi pindi wanapotimiza majukumu yao ya kazi ikiwa ni pamoja na kuwahi kazini na kutoka kazini muda uliopangwa.

Vilevile Bw.Adolph ametoa rai kwa watumishi wote Halmashauri ya Buchosa kuendelea kujifunza kwa bidii mfumo wa PEPMIS ambapo zoezi la kuingiza malengo katika mfumo bado linaendelea na kuwataka kutekeleza zoezi hilo likamilike kwa wakati.

 

Afisa Utumishi Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa Bw.Ritte Adolph (aliyesimama) akitoa maelekezo kwa Watumishi wakati wa kikao leo mapema katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ambapo aliwataka Watumishi kuzingatia nidhamu ya kazi pindi wanapo timiza majumu yao ya kila siku.

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa wakifuatilia kwa makini katika kikao kilichofanyika leo mapema katika ukumbi wa Halmashauri ambapo wametoa kero na changamoto zao kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmasahuri ya Wilaya ya Buchosa.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • DED Benson Mihayo awataka watumishi kushirikana katika ukusanyaji Buchosa

    March 27, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa