• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DED Benson Mihayo Ateta na Watumishi Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

Posted on: December 17th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa afanya kikao na watumishi wa Halmashauri makao makuu na kuahidi kutatua changamoto zinazowakabili.

Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Buchosa Bw.Benson Mihayo amefanya kikao leo tarehe 17,Disemba,2024, na Watumishi wa Makao makuu ikiwa ni utaratibu wake wa kawaida aliojiwekea wa kuongea na watumishi kila robo ya mwaka ambapo amesikiliza kero na changamoto mbalimbali zinazowakabili watumishi ikiwa ni pamoja na uhaba wa vitendea kazi,vyombo vya usafiri na madeni ya watumishi.

Bw. Mihayo ameeleza na kufafanua kwamba atahakikisha kila mtumishi anapata stahiki zake za msingi ikiwa pamoja na kulipa fedha za madeni ya uhamisho,likizo na safari kulingana na Bajeti ya Halmashauri itakavyokuwa inaimarika.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji amesema atatua changamoto ya usafiri ikiwa ni pamoja na kutengeneza gari moja bovu na kununua pikipiki kadhaa ili kurahisha changamoto iliyokwepo ya baadhi ya watumishi kukosa usafiri wa kwenda kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Hata hivyo,amewataka watumishi kuendelea kufaya kazi kwa juhudi na kwenye mfumo wa PEPMIS ili kuendana na kasi iliyopo na kila mtu atimize majukumu kwa nafasi yake.

Kwa upande wao watumishi wamefurahishwa na kitendo cha Mkurugenzi Mtendaji cha kuwa na utaratibu wa kuongea na watumishi na kusiliza changamoto zao.

 

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • DED Benson Mihayo awataka watumishi kushirikana katika ukusanyaji Buchosa

    March 27, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa