• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC Senyi Ngaga awataka Watendaji na Viongozi Kuwajibika katika Kufanya kazi Buchosa

Posted on: December 17th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema ameongoza Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) na kuwata viongozi na Watendaji kuwajibika katika kufanya kazi ili kuleta matokeo Chanya katika Halmashauri ya Buchosa.

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe.Senyi Ngaga leo tarehe 17, Disemba,2024 ameongoza kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Buchosa ambapo amewataka Watendaji na Viongozi mbalimbali kusimamia na kutekeleza majukumu kwa nafasi zao ili kuleta ufanisi na maendeleo katika Halmashauri ya Buchosa.

Mhe.Ngaga amesisitiza na kuwataka Viongozi na Wataalamu kufanya maandalizi yakinifu ya kuwapokea wanafunzi Januari,2025 wa darasa la Awali,la kwanza na wanafunzi wa kidato cha kwanza pindi watakaporipoti katika shule za Msingi na Sekondari.

Aidha amewakumbusha wazazi na walezi kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia watoto na kufanya maandilizi ya mahitaji ya msingi kwa wanafunzi kwa ajili ya kujiandaa na masomo pindi shule zitakapofunguliwa mwakani.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Hamashauri Mhe.Idama Kibanzi amewataka Viongozi na Wataalam kwa upande wa Sekta ya Elimu kusimamia kikamilifu sekta hiyo ili kuleta ufanisi na matokeo chanya.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Buchosa Bw.Peter Mihayo amesema kwamba atayafanyia kazi yote ya msingi kwa maendeleo ya Halmashauri ya Wilaya  Buchosa.

Kikao hicho kimejadili taarifa za Maendeleo ya Halmashauri katika Sekta mbalimbali ikiwemo Maji,Umeme,Barabara zimejadiliwa,Sambamba na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa maendeleo wakiwemo Viongozi wa Siasa,Viongozi wa Dini na Viongozi wa Taasisi za Serikali.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • DED Benson Mihayo awataka watumishi kushirikana katika ukusanyaji Buchosa

    March 27, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa