• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC Senyi Ngaga afanya ziara ya Kutembelea Kukagua Miradi ya Maendeleo Wilayani Buchosa

Posted on: September 10th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema ameongooza ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya Maendeleo ambayo inapitiwa na mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 kwa ajili kufuatilia mafanikio na changamoto zilizopo ili kuhakikisha Mbio za Mwenge unapokelewa vizuri katika Halmashauri ya Buchosa.

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe.Senyi Ngaga akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama kutoka Wilaya ya Sengerema amesema miradi yote inayopitiwa na  Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 katika maeneo yote, Wataalamu na Watendaji wahakikishe mapungufu yote ya miradi inayojengwa yafanyiwe kazi na kuzingatia ubora na viwango na kuendana na thamani halisi ya fedha zilizotumika na wahusike wote wawajibike kikamilifu katika jukumu hilo la kitaifa.

Kwa upande wake Mratibu Msaidizi wa sherehe za mbio za  Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa Bw.Emmanuel Mtambulo  kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bw.Benson Mihayo amewasilisha taarifa ya hali utekelezaji wa Miradi mbalimbali itakayotembelewa ambayo ni pamoja na miradi ya Sekta ya Elimu ikiwemo miundombinu ya vyumba vya madarasa,Sekta ya Afya,Sekta ya Maji,na Utunzaji wa Mazingira ambapo miradi hiyo kuwekewa jiwe la msingi,kukaguliwa pamoja kuzinduliwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa.

Aidha mbio za mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2024 zinatarajiwa kukimbizwa katika Halmashauri 8 za Mkoa wa Mwanza kuanzia tarehe 6 Oktaba hadi tarehe 13, na sherehe za kuhitimisha Mbio hizo Kitaifa zitafanyika tarehe 14 Oktoba mwaka 2024 Jijini Mwanza,ambapo mbio za Mwenge zinakimbizwa kwa kaulimbiu ya Uhifadhi wa Mazingira na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ”Tunza mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa ujenzi wa Taifa endelevu”.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • DED Benson Mihayo awataka watumishi kushirikana katika ukusanyaji Buchosa

    March 27, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa