• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Utengenezaji Madawati Buchosa.

Posted on: July 26th, 2016

Wananchi wa Kijiji cha Bilulumo Kata ya Kafunzo Halimashauri ya Buchosa Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wameitikia agizo la Rais wa Jahuri ya Muungano wa Tanzania kwa kukamilisha zoezi la upatikanaji wa madawati katika shule yao.

Kauli hiyo imetolewa na Diwani wa Kata ya Kafunzo Dotto Bulunda alipokuwa akizungumuza wa waandishi wa habari walipotaka kujua katika Kata yake amejipangaje kumaliza tatizo la madawati katika shule za msingi na Sekondari zilizopo katika kata yake.

Alisema kuwa Kata ya Kafunzo inaundwa na Vijiji Vitatu ambavyo ni Bilulumo, Luhorongoma na Kafunzo ambapo Kata hiyo ina shule tatu za msingi na Sekondari moja na hadi sasa hadi sasa Shule ya Msingi ambayo imekamilisha madawati  ni moja shule ya msingi Bilulumo ambayo wananchi wake wamejitoa kwa moyo na kukamilisha swala hilo.

Bulunda alisema jitihada za kuhamasisha wananchi  na wao wakaitiki  kwa kujitoa ndiyo imesabisha jamii  kuona umuhimu na kumalisha swala hilo ambapo hadi sasa mahitaji ya shule hiyo upande wa madawati ili kuwa ni madwati miatatu na kumi[310] hadi sasa wamevuka lengo na kiufikisha madawati miatatu ishirini na tano[325] na wamekuwa na ziada.

‘’ Ninatumia furusa hii kuwaomba wananchi wa vijiji  vya  Kafunzo na Luhorongoma wajitoe kwa moyo nao wakamilishe swala hilo katika muda uliopangwa litakuwa jambo jema na lenye  tija kwa jamii nzima hivyo kila mmoja wajibike kwa nafasi yake na kutimiza kile walichokubaliana ili kumaliza tatizo la madawati katika shule zetu , katika shule  ya Sekondari hatuna upungufu wowote , Alisema Bulunda.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Bilulumo Kambona Bulela alisema siri ya mafaniko  ya kufanikisha zoezi hilo ni kuwekana wazi katika vikao vya kijiji na kukubaliana ambapo walitumia miti shule kuengeneza madwati themanini  na wananchi walichangia madawati themanini na tatu na kumaliza upungufu huo.

 

Mwalimu  wa Shule ya Msingi Bilulumo Said Malekela  alisema kuwa mahusiano mazuri ya walimu na wananchi  pamoja na uhamasishaji  wa Diwani wa Kata hiyo katika swala la maendeleo ndiyo imekuwa chachu ya kufanikisha  zoezi hilo na kukamilisha swala la upatikanaji wa madawati  katika shule hiyo ambapo shule hiyo ina jumla ya wanafunzi mia tisa thelathini na mbili kuanzia darasa la awali hadi darasa la saba hakuna mwanafunzi ambaye anakaa chini kwa kuwa shule hiyo ilikuwa na uhitaji wa madawati 310 na yamekamilika yote na inaziada ya dawati 25.



Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • DED Benson Mihayo awataka watumishi kushirikana katika ukusanyaji Buchosa

    March 27, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa