• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC NGANGA AWATAKA WATENDAJI WA KATA KUONGEZA JUHUDI UPATIKANAJI WA CHAKULA SHULENI

Posted on: September 17th, 2025

Harakati za kupambana juu ya upatikanaji wa chakula shuleni kupitia hamasa mbalimbali ili watoto waweze kupata mlo kamili pamoja na kusoma katika mazingira mazuri katika Halmashauri ya Buchosa.


Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe.Senyi Ngaga  leo tarehe 17,Septemba,2025 akizungumza na Watendaji wa wa Kata katika kikao cha Tathmini ya utekelezaji wa mkataba wa Lishe ambacho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri   amepongeza juhudi za kuhakikisha hali ya upatikanaji wa chakula shuleni ambapo imeongezeka ukulinganisha na hapo awali kwa kutumia mbinu mbalimbali.

Aidha Bi.Ngaga amesisitiza na kuwaataka watendaji wa Kata zote za Halmashauri kufanya jitihada za kuongeza hali ya upatikanaji wa Lishe mashuleni kwa kuwahamasisha wazazi ili kupunguza changamoto za Lishe katika Halmashauri ya Buchosa.

Aidha lengo la kikao hicho ilikuwa ni kupima hatua zilizofikiwa katika uboreshaji wa hali ya upatikanaji wa Lishe shuleni ambapo kwa Halmashauri ya Buchosa ina wastani wa asilimia 98.51 ambayo ni rangi ya kijani inayoonesha uhai au maendeleo mazuri ya utoaji wa huduma ya chakula.

Hata hivyo Kata tano zilizofanya vizuri katika kuhamasisha utoaji wa huduma ya       chakula shuleni  zimepokea fedha taslimu ikiwa lengo ni kutoa motisha kwa watendaji wa Kata hizo ambazo ni Kata ya Nyakasungwa,Nyazenda,Luharanyonga,Bulyaheke na Nyakaliro.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA MAOMBI YA MPIGA KURA 2025 September 17, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA September 03, 2025
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC NGANGA AWATAKA WATENDAJI WA KATA KUONGEZA JUHUDI UPATIKANAJI WA CHAKULA SHULENI

    September 17, 2025
  • BOTI TATU ZA THAMANI YA MILIONI 400 ZA POKELEWA BUCHOSA

    August 29, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 350 KUNUFAISHA VIKUNDI 40 KUPITIA MAPATO YA NDANI.

    August 28, 2025
  • ERICK SHIGONGO ACHUKUA FOMU KUWANIA JIMBO LA BUCHOSA

    August 26, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa