• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Madiwani Halmashauri ya Buchosa Wawasilisha Taarifa za Maendeleo kwa Robo ya Kwanza 2024/2025

Posted on: November 7th, 2024

Wananchi wa Visiwa vya Kome na Maisome  na kunufaika na huduma usafiri wa haraka ili kunusuru Vifo vya Mama na mtoto katika Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa mkoani Mwanza.

Kupitia Baraza la Madiwani ambalo limejadili taarifa za Kata kwa robo ya kwanza kipindi cha Julai hadi Septemba 2024/2025 limefanyika leo tarehe 07, Novemba ,2024 ambapo baraza la Madiwani limewasilisha taarifa za Maendeleo za Kata sambamba na changamoto zilizojitokeza katika kata zao.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Buchosa Mhe. Idama Kibanzi ameeleza na kufafanua katika mkutano wa baraza la Madiwani kwamba kuna umuhimu wa kutazama upya huduma ya usafiri wa haraka katika Visiwa vya Kome na Maisome ili kupata vivuko vipya ambavyo vitasaidia na kurahisiha huduma ya usafiri kwa wagonjwa hasa wamama wajawazito na kuwaondelea usumbufu wa kuvuka maji pindi wanapoenda sehemu nyingine kupata huduma ya afya.

Aidha Mhe.Idama amewataka Watendaji wa Taasisi za umma kuhakikisha wanasimamia na kutekeleza kikamilifu Miradi yote kama ilivyopangwa ili wananchi waweze kunufaika na matunda ya miradi hiyo ambayo Serikali inatoa fedha nyingi kwa ajili ya kutekeza miradi hiyo.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa Bw.Benson Peter Mihayo amesema kuwa Halmashauri imepeleka maombi kwa ajili kupata ambulace mbili ambapo moja itatumika katika kisiwa cha Kome na nyingine itatumika katika kisiwa cha Maisome na tayari mchakato huo upo katika hatua nzuri.

Hata hivyo Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Buchosa wameishukuru na kuipongeza Serikali ya awamu ya sita kwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo katika kata zao ikiwemo miradi ya Sekta ya afya,Maji,Elimu na Miundombinu ya Barabara.

Mkutano huo wa Baraza la Madiwani umehudhuriwa na Viongozi wa Serikali Pamoja na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi ,Waatalamu kutoka katika Idara na Vitengo Pamoja na wadau mbalimbali katika Halmasahuri ya Buchosa.

Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Buchosa wakipitia na kujadili hoja mbalimbali leo tarehe 07,Novemba,2024 katika Mkutano wa Baraza la Madiwani katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

Wakuu wa Idara na Vitengo wakifuatilia kwa makini hoja mbalimbali na taarifa katika kikao cha Baraza la Madiwani ambacho kimefanyika leo mapema katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • DED Benson Mihayo awataka watumishi kushirikana katika ukusanyaji Buchosa

    March 27, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa