• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa yapewa Majokofu yanayotumia Nishati ya Jua

Posted on: November 30th, 2019

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amezindua chumba cha kuhifadhia majokofu yanayotumia nishati ya jua (umeme wa jua) kwenye Zahanati ya Nyakasungwa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa.

Halmashauri ya Buchosa imepata majokofu 17 kutoka Wizara ya Afya mwezi Oktoba 2019 kwa awamu ya kwanza na tayari yamesambazwa na kufungwa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya.

Majokofu hayo yatasaidia kuimarisha mnyororo baridi na kuongeza ubora wa utunzaji wa chanjo katika vituo vya kutolea huduma za afya ambapo itapelekea watoto kupata chanjo zenye ubora kama ilivyokusudiwa

Hali ya chanjo kwa Halmashauri hiyo kwa mwaka huu ni asilimia 94 kutoka asilimia  79 mwaka jana na katika kampeni ya kitaifa ya chanjo ya Surua na Rubella mwezi Oktoba mwaka huu imefanikiwa kwa asilimia 106.

Pia waziri amatembelea kituo cha Afya Kome  ambapo alipata wasaa wa kukagua chumba cha kutolea huduma za Upasuaji.

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu akiangaliamaandalizi ya  huduma za upasuaji kituo cha Afya Kome halmashauri ya Buchosa

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu akiangalia maandalizi ya  huduma za upasuaji kituo cha Afya Kome halmashauri ya Buchosa.


Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Apongeza Mradi wa jengo la Utawala,Aweka jiwe la msingi

    May 19, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa