• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa yapewa Majokofu yanayotumia Nishati ya Jua

Posted on: November 30th, 2019

Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amezindua chumba cha kuhifadhia majokofu yanayotumia nishati ya jua (umeme wa jua) kwenye Zahanati ya Nyakasungwa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa.

Halmashauri ya Buchosa imepata majokofu 17 kutoka Wizara ya Afya mwezi Oktoba 2019 kwa awamu ya kwanza na tayari yamesambazwa na kufungwa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya.

Majokofu hayo yatasaidia kuimarisha mnyororo baridi na kuongeza ubora wa utunzaji wa chanjo katika vituo vya kutolea huduma za afya ambapo itapelekea watoto kupata chanjo zenye ubora kama ilivyokusudiwa

Hali ya chanjo kwa Halmashauri hiyo kwa mwaka huu ni asilimia 94 kutoka asilimia  79 mwaka jana na katika kampeni ya kitaifa ya chanjo ya Surua na Rubella mwezi Oktoba mwaka huu imefanikiwa kwa asilimia 106.

Pia waziri amatembelea kituo cha Afya Kome  ambapo alipata wasaa wa kukagua chumba cha kutolea huduma za Upasuaji.

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu akiangaliamaandalizi ya  huduma za upasuaji kituo cha Afya Kome halmashauri ya Buchosa

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu akiangalia maandalizi ya  huduma za upasuaji kituo cha Afya Kome halmashauri ya Buchosa.


Matangazo

  • AJIRA MPYA KADA YA AFYA NA ELIMU July 02, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 23, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI - MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II NA KATIBU MAHSUSI III May 11, 2021
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BUCHOSA YAPOKEA VIFAA VYA KAZI

    May 05, 2021
  • WAZIRI SELEMAN JAFO ATEMBELEA BUCHOSA

    January 05, 2021
  • TCRA YATOA MCHANGO WA VIFAA VYA TEHAMA

    January 09, 2020
  • Hatimaye kituo cha Afya Kome wafanya upasuaji wa kwanza

    December 13, 2019
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Madiwani
  • Watumishi Portal
  • OPRAS

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitiani
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 028 2590162

    Simu ya kiganjani: 0684291102

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa