• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe |
Buchosa District Council
Buchosa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Misitu
    • Biashara
    • Ushirika
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Telesenta
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi idhinishwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

TCRA YATOA MCHANGO WA VIFAA VYA TEHAMA

Posted on: January 9th, 2020

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa mchango wa vifaa vya mawasiliano katika Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa ikiwa ni majibu ya maombi ya Shule ya Msingi Isaka iliyoko Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa.

Vifaa vilivotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanznaia (TCRA) ni kama ifuatavyo:-

  • Kompyuta kumi (10) za mezani kwa ajili ya kujifunza na kufundishia somo la Tehama na pia kwa ajili ya kuandaa mitihani ya wanafunzi
  • Printer kubwa (Heavy Duty) yenye scanner kwa ajili ya matumizi ya ofisi katika kuandaa mitiani na shughuli zingine za kiofisi.
  • Pamoja na Screen moja(1) na kisimbuzi chake kwa ajili ya kufundishia matamshi na usomaji kwa wanafunzi wa darasa la kwanza, la pili na elimu ya awali na kupata taarifa mbalimbali za elimu kupitia vyombo vya habari.

Hafla ya makabidhiano imefanyika katika shule ya Msingi Isaka ambapo Mhandisi Francis Mihayo , Mkuu wa Mamalaka ya Mawasiliano Tanzania kanda ya Ziwa alikabidhi vifaa hivyo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).

Mhandisi Francis F. Mihayo (Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Kanda ya Ziwa).

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa, Crispin Luanda amemshukuru Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano kanda ya Ziwa kwa mchango wao wa ufadhili wa vifaa vya TEHAMA kwa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa na kumuomba amfikishie salama za shukrani kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasilino Tanzania, Mhandisi James Kilaba.

Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO KWA UMMA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 26, 2024
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA USAILI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGAKURA(BVR)-2024 August 02, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA July 17, 2024
  • TANGAZO LESENI ZA BIASHARA 2024 July 10, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Apongeza Mradi wa jengo la Utawala,Aweka jiwe la msingi

    May 19, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • Halmashauri ya Buchosa yapongezwa kupata Hati safi

    April 28, 2025
  • DC Ngaga asisitiza Mahusiano mazuri kazini Buchosa

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

UTOAJI WA MIKOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA
Video nyingine

Viungio vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Mpango Mkakati Wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • Mkoa wa Mwanza
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA)
  • Wizara ya Kilimo

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

freevisitorcounters's Website

Location Map

Wasiliana nasi

    Buchosa District Council

    Anuani: 44 Buchosa - SENGEREMA

    Simu: 0759941297

    Simu ya kiganjani: 0765029662

    Barua pepe: ded@buchosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Hamlashauri ya Wilaya ya Buchosa. Haki zote zimehifadhiwa